
Hakika maadhimisho ya miaka 48 ya Uhuru wa Tanganyika yamekwenda vizuri. Lakini watu wanaendelea kumkumbuka Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakiamini bila ya yeye nchi isingekuwa hapo. Kwa kuwa yeye akishirikiana na wazalendo wengine walifanikisha upatikanaji wa Uhuru. Hurreee Tanganyika!!!
No comments:
Post a Comment